Furaha Kubwa Niliyonayo Na Zawadi Kubwa Kwako, USIACHE KUSOMA.

By | August 2, 2015
Habari za leo msomaji na rafiki yangu wa karibu. Nina furaha kubwa sana kwa sababu tatizo lililokuwa linaendelea kwenye blog hii KISIMA CHA MAARIFA limetatulika. MFANO WA FURAHA NILIYONAYO, HA HA HAA Tangu tumebadili baadhi ya mifumo kwenye blog hizi kumekuwa na tatizo kubwa sana kwa watu kuweza kuingia na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz