UKURASA WA 214; Kwa Nini Hutawafikia Wale Unaowaangalia.

By | August 2, 2015
Sababu ni moja, wivu. Watu wanasema kuna wivu wa maendeleo na wivu usio wa maendeleo. Sijui tofauti zake sana, ila ninachojua wivu ni wivu. Wivu ni nini basi? Kwa ninavyoelewa mimi mwenyewe wivu ni ile hali ambapo unamwona mtu mwingine ana kitu ambacho huna, halafu ukajisikia vibaya kwa nini na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz