UKURASA WA 222; Unaweza Kutoa Majibu Au Unaweza Kutoa Sababu.

By | August 10, 2015
Unaweza kutoa majibu au unaweza kutoa sababu, lakini sio vyote kwa pamoja, na pia havina uzito sawa. Watu wengi tunapenda kutoa sababu, kwa sababu tunajua tukiwa na sababu tutasamehewa kwa kile ambacho tumeshindwa kufanya. UNAWEZA KUTOA MAJIBU AU UNAWEZA KUTOA SABABU, SIO VYOTE KWA PAMOJA. Hivyo wakati unafanya kitu, tayari

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz