BIASHARA LEO; Wauzie Wanaoijua Thamani Unayotoa.

By | August 21, 2015
Moja ya njia unazotumia kupoteza muda na rasilimali nyingine kwenye biashara yako, ni kujaribu kumuuzia kila mtu kile unachouza. Ni vigumu sana kila mtu kuona thamani ya ile biashara ambayo unafanya. Hivyo katika harakati zako za kutafuta wateja utakutana na watu wengi. Kuna ambao wataiona thamani na kuchukua hatua haraka,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz