Jinsi ya kutengeneza bajeti ya matumizi mazuri ya muda wako kama mjasiriamali.

By | August 31, 2015
Wajasiriamali na wafanyabiashara wote tunajua ni jinsi gani ilivyo changamoto kuendesha biashara. Japokuwa wengi hufikiri kuendesha biashara ni kuwa na uhuru mkubwa, bado changamoto ni nyingi sana. Ni changamoto hizi ndio zinazuia wafanyabiashara wengi kukua na kusababisha wengine kushindwa kabisa. Changamoto za kibiashara zinaweza kusababishwa na mambo mengi sana, matatizo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz