Mambo muhimu ya kuzingatia pale unapoanza biashara na mtaji mdogo.

By | September 28, 2015
Moja ya maswali ambayo huwa napokea sana kutoka kwa watu wanaotaka kuanza biashara huwa ni biashara gani waanze kwa mtaji kidogo wanaokuwa nao. Mfano wa swali huwa, “nina laki tano, naweza kuanza biashara gani kwa kiasi hiki cha fedha?” swali hili huwa linaulizwa mara nyingi sana kwa viwango vidogo na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz