UKURASA WA 306; Aina Mbili Za Kufanya Kazi….

By | November 2, 2015
Kuna aina mbili za kufanya kazi yoyote ile unayojishughulisha nayo. Iwe ni kazi ya kuajiriwa, ya kujiajiri, biashara au hata kazi ya sanaa kama muziki au uandishi. Aina ya kwanza tayari unaijua kwa sababu tumekuwa tunaijadili sana. Aina hii ni kufanya kazi iliyo bora, kuboresha kila siku, kufanya kwa utofauti,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz