UKURASA WA 325; Anayeongea Sana Ndiye Anayepoteza.

By | November 21, 2015
Katika jambo lolote lile, yule anayeongea sana ndiye anayepoteza. Iwe ni kwenye kufikiana makubaliano au hata kwenye biashara, anayeongea sana anapoteza. Anayeongea sana anapoteza nafasi nzuri ya kuweza kunufaika zaidi. Anakosa nafasi ya kujua kwa undani hasa. Hii ni kwa sababu anayeongea sana anakosa nafasi ya kusikiliza kwa makini, na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz