Karibu kwenye mwaka mpya wenye miezi 13, mwaka wa mafanikio kwako.

By | December 1, 2015
Habari za leo rafiki? Hongera sana kwa kuuanza mwaka huu mpya wa mafanikio. Leo ni siku ya kwanza kabisa ya mwaka wetu huu mpya. Kama bado huelewi ni nini kinaendelea hapa basi huenda hukusoma makala inayoelezea kuhusu mwaka huu mpya. Lakini sio kesi, kwanza isome hapa halafu ndio urudi hapa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz