BIASHARA LEO; Mbinu Za Kumrudisha Mteja Anayetaka Kukukimbia.

By | December 8, 2015
Kwenye makala ya jana ya #BIASHARA_LEO tuliona kauli moja ambayo ukiisikia kwa mteja maana yake mteja huyo unampoteza. Kama hukusoma makala ile bonyeza maandishi haya kuisoma kwanza kabla hujaendelea. Kwenye makala hiyo tumekubaliana usikubali kupokea kauli hii ya mteja. Sasa leo tutaangalia ufanye nini pale mteja anapokupa kauli kwamba nikiwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz