UKURASA WA 347; Usikubali Hili Moja Liingie…

By | December 13, 2015
Hakuna mtu ambaye anaamka asubuhi na mara moja tu akawa na mawazo ya kukata tamaa, na kuona mbele hakuwezekani tena. Hiki sio kitu kinachokuja ghafla kama ajali, bali mtu anakitengeneza mwenyewe. Na huwa kinaanza na wazo moja hasi, na kwa sababu mawazo hasi yanavutia mawazo mengine hasi, basi unakuja msururu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz