Mambo Matano(5) Muhimu Ya Kujifunza Kwenye Kurasa 365 Za Mwaka 2015 Na Mazuri Yanayokuja 2016.

By | December 31, 2015
Habari za wakati huu rafiki yangu? Naamini uko vizuri sana na unaendelea vyema na mipango yako ya kuboresha maisha yako. Leo nimeandika ukurasa wa 365 katika kurasa 365 za mwaka 2015. Kuna mambo mengi nimejifunza kupitia kurasa hizi na nimeona ni vyema na wewe rafiki yangu ukayapata maana yatakusaidia sana.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz