#BIASHARA LEO; Viwango Vya Kuepuka Kwenye Biashara Yako.

By | February 12, 2016
Kwenye biashara yoyote unayofanya au unayoingia kufanya, kuna viwango ambavyo waliotangulia kufanya biashara hiyo walishaviweka. Kuna utaratibu fulani ambao karibu kila mtu anayefanya biashara ya aina hiyo huwa anaufuata. Lakini ukichunguza kwa makini, huoni maana au mantiki yoyote ya kufanya kitu hiko. Hivi ni viwango ambavyo unahitaji kuviepuka, hivi ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz