BIASHARA LEO; Usimpe Mteja Anachotaka, Mpe Hiki.

By | February 15, 2016
Kwanza kabisa, kabla hatujachanganyana, unapoanza biashara, anza na biashara ambayo wateja wako tayari kununua. Hivyo ni lazima ujue matatizo ambayo watu wanayo na uje na suluhisho. Sasa pamoja na kuwa na kitu ambacho watu wanataka, bado usimpe mteja kile ambacho anataka yeye, bali mpe kile ambacho ni bora zaidi. Mteja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz