UKURASA WA 412; Mpaka Waache Kukupuuza…

By | February 16, 2016
Unapoanza kufanya kitu chochote kipya, na ukajitoa kukifanya kwa ubora wa tofauti kabisa, watu wataanza kwa kukusifia, lakini baada ya muda mfupi wataanza kukupuuza, yaani kutojali sana kile unachofanya. Na pengine watakuambia una wazo zuri lakini kwa hapa haliwezekani, au kuna wengine walianza kama wewe lakini walishindwa. Au unachojaribu kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz