MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
BIASHARA LEO; Biashara Ni Unachofanya, Siyo Unachosema.
Watu wengi wamekuwa wakiahidi mambo mengi sana kwenye biashara zao. Kuna wale ambao wamekuwa wakiahidi kuingia kwenye biashara na siku zinakwenda ila hawaingii. Na kuna wale ambao wamekuwa wakiweka mipango mizuri na bora kwa biashara ila hawafikii utekelezaji wa mipango hiyo. Ukweli ni kwamba kuahidi au kupanga ni sehemu ndogo