UKURASA WA 428; Mbadala…

By | March 3, 2016
Kama hukubaliani na kile ambacho unaambiwa au kushauriwa ufanye, basi tuambie au tuoneshe unafanya nini. Tatizo la wengi wanaopinga au kukosoa ni kwamba wakishafanya hivyo wanarudi kuendelea na maisha yao yale yale, hawafanyi jitihada zozote za kubadili maisha yako. Labda umesoma hapa kwamba unahitaji kuweka juhudi zaidi kwenye kazi yako,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz