BIASHARA LEO; Huhitaji Wazo Jipya Kabisa, Ila Pia Usiige Kila Kitu.

By | March 4, 2016
Bado kuna watu wengi sana ambao wanashindwa kuingia kwenye biashara kwa sababu bado hawajapata wazo bora na la kipekee kwao. Kama na wewe ni mmoja wa watu hawa naomba nikupe taarifa leo ya kwamba unajidanganya na unapoteza muda wako bure. Huhitaji kuwa na wazo jipya kabisa na la kipekee ndio

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz