BARUA YA WAZI KWA MARAFIKI ZANGU WAANDISHI…

By | March 4, 2016
Kwako rafiki yangu ambaye ni mwandishi kupitia mitandao hii ya kijamii. Kwanza nikupe pongezi kubwa, kwa sababu kuandika, hasa kama unafanya mara kwa mara au kila siku, siyo kitu rahisi. Japo kuna ambao kwa nje wanaona ni rahisi sana. Lakini sio kitu rahisi ila unafanya kwa sababu unapenda wengine wanufaike

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz