UKURASA WA 434; Chanzo Kikuu Cha Umasikini Au Utajiri.

By | March 9, 2016
Umasikini au utajiri siyo vitu ambavyo vinatokea kama ajali, bali ni vitu ambavyo vinaandaliwa mapema na vina chanzo kimoja kikuu. Kutoka kwenye chanzo hiki ndipo watu wanakuwa matajiri na wengine wanakuwa masikini. Chanzo hiki ni jinsi mtu anavyoyaweka na kuendesha maisha yake. Kuna namna ambayo inaleta utajiri na kuna namna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz