BIASHARA LEO; Mambo Ya Kuzingatia Unapojikuta Kwenye Ushindani Wa Bei.

By | March 8, 2016
Kama ambavyo tumewahi kujifunza, hakuna ushindani ambao ni mbaya kwenye biashara kama ushindani wa bei. Huu ni ushindani mbovu sana na mara nyingi huwa nauita mbio za kuzimu. Yaani kama mnashindana kwa vigezo vya bei, kwa kuwa mara nyingi mnashindana kushusha bei, basi mwisho wa siku wote mnaishia kuwa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz