FALSAFA MPYA YA MAISHA; Kinachotuzuia Kuujua Ukweli.

By | March 13, 2016
Ujue ukweli nao utakuweka huru. Hii ni kauli ambayo huwa inatumika kwenye falsafa za dini mbalimbali. Ili tuwe na maisha bora na ya uhuru, ni lazima tuujue ukweli. Kutokujua ukweli kunatufanya tuwe watumwa na tushindwe kuzitumia fursa mbalimbali zinazotuzunguka kwenye maisha yetu. Pamoja na umuhimu huu wa ukweli, bado ukweli

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz