UKURASA WA 448; Kejeli…

By | March 23, 2016
Watu huwa wanakejeli vitu ambavyo wanavihofia au ambavyo wao wenyewe hawawezi kuvifanya. Na hivyo wanapomwona mtu mwingine anafanya, inawaumiza na ili kujiondolea maumivu hayo wanakejeli. Wanatengeneza hadithi zao ambazo zitawafanya wao wawe sahihi kuliko yule ambaye amechagua kufanya kitu cha tofauti. Na watakuwa na maneno mengi ya kejeli. Vitu viwili

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz