FALSAFA MPYA YA MAISHA; Hiki Ndiyo Kinavuruga Furaha Tuliyonayo Na Jinsi Ya Kukiepuka.

By | April 17, 2016
Habari za leo mwanafalsafa ya maisha? Ni matumaini yangu unaendelea vyema sana, huku ukijijenga falsafa mpya na bora sana ya maisha yako. Naendelea kukukumbusha kwamba unahitaji kujenga falsafa mpya ya maisha yako kwa sababu maisha uliyopokea kwenye jamii hayana falsafa. Watu wanaishi kama wanavyowaona wengine wakiishi na hili limeleta changamoto

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz