UKURASA WA 473; Jiwekee Mipaka…

By | April 17, 2016
Kadiri teknolojia inavyozidi kukua, ndivyo tunavyozidi kusahau kwamba tunahitaji kuweka mipaka. Teknolojia hizi mpya zimekuwa sehemu ya maisha yetu kiasi kwamba tumeshajijengea hali kwamba hatuwezi kukaa mbali nazo. Hebu jiulize ni kwa dakika ngapi unaweza kukaa bila ya kugusa simu yako, hasa kama unatumia simu hizi za kisasa? Jiulize je

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz