UCHAMBUZI WA KITABU; THE 50TH LAW (Mbinu Za Kuondokana Na Hofu)

By | May 11, 2016
The 50th law ni kitabu kilichoandikwa na mwandishi Robert Green ambapo amefuatilia maisha ya mwanamuziki 50 Cent ambaye ameweza kufanikiwa sana kwenye muziki. Mwandishi alifuatilia kwa makini maisha ya mwanamuziki huyu ambaye amepitia maisha magumu sana lakini bado akaweza kufikia mafanikio makubwa. katika uchambuzi wake, mwandishi aliweza kuona falsafa moja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UCHAMBUZI VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz