UKURASA WA 549; Adhabu Ya Dunia…

By | July 2, 2016
Dunia imekuwa inatoa adhabu kali sana kwa kila mtu. Wale wanaojifunza kutoka kwenye adhabu ya kwanza wanaepuka adhabu nyingine za baadaye. Lakini wale ambao wanashindwa kujifunza, wanaendelea kuadhibiwa na dunia kila siku. Dunia haina huruma kwenye adhabu hii, wale ambao hawajifunzi wanaendelea kuadhibiwa mara zote, bila ya kujali ni adhabu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz