UKURASA WA 632; Wa Kwanza Kufika, Wa Mwisho Kuondoka…

By | September 23, 2016
Pamoja na mapinduzi na maendeleo makubwa kwenye teknolojia, jambo moja bado linabaki kama lilivyokuwa tangu kuwepo kwa dunia hii. Jambo hilo ni KAZI. Hakuna mafanikio yanayoweza kutokea bila ya watu kufanya kazi, hakuna na hayatakuja kuwepo. Hata kama tunapata mashine bora kabisa za kufanya kazi, bado zinahitaji kuendeshwa na watu,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz