UKURASA WA 646; Ufahari Kwenye Kazi Yako…

By | October 7, 2016
Moja ya vitu ambavyo tukiviangalia tunaweza kujua kama kazi au biashara unayofanya itakuletea mafanikio au la, ni ule ufahari ulionao kwenye kazi au biashara hiyo. Je unajisikia ufahari kwa kile unachofanya? Je upo tayari kusimama kifua mbele, mbele ya watu kuwaeleza kwamba hii ni kazi ambayo nimefanya mimi? Je upo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz