UKURASA WA 678; Fuata Misingi, Simamia Misingi.

By | November 8, 2016
Kitu kimoja ambacho kimekuwa kinawachanganya watu wengi, ni kutokuijua misingi, kutokuzijua kanuni. Hii inawapoteza wengi na kushindwa kupata kile ambacho wanakitaka. Kwa chochote unachofanya kwenye maisha yako, mahali popote unapotaka kufika, unahitaji kwanza kuijua misingi, kuzijua kanuni na kisha kuzifuata na kuzisimamia. Watu wengi wamekuwa wanashindwa kwa sababu hawajui misingi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz