MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 681; Tafuta Vikwazo Unavyoweza Kuvivuka…
Kila mtu anayeomba ushauri huwa anaomba kushauriwa ni kitu gani rahisi anachoweza kufanya ili kufanikiwa. Mtu atakuambia hebu nishauri ni biashara gani ninayoweza kufanya na isinisumbue ili niweze kufanikiwa? Au mwingine atakuuliza ni kazi gani nifanye sasa ambayo haitakuwa na usumbufu kwangu na itaniletea mafanikio? Unajua jibu ni nini? Jibu