UKURASA WA 690; Kubishana Ni Kupoteza Muda Wako…

By | November 20, 2016
Kuna baadhi ya mambo huwa tunajikuta tunayafanya, lakini hatujui ni kwa jinsi gani yanatupotezea muda wetu. Na moja ya mambo hayo ni kubishana. Unajikuta unaona ni sahihi kabisa kwako kubishana, kwa sababu wewe ndiyo uko sahihi na yule mwingine amekosea au  hajui. Si ndiyo, wewe shabiki wa yangu upo sahihi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz