UKURASA WA 705; Misingi Mitano Ya Kuanza Na Kuendesha Biashara Yoyote Ile…

By | December 5, 2016
Kila siku ninapowasiliana na watu, hasa wanaoniadikia wakitaka ushauri, wengi wanakuwa wamekwama, wanataka kuanza biashara lakini hawajui waanzie wapi. Wengine wanasema mtaji ndiyo hawana. Wengine tayari wana biashara ila wanashindwa kuzikuza. Visingizio na sababu ni nyingi sana linapokuja swala la biashara. Lakini ukweli ni kwamba misingi ya kuanzisha na kuendesha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz