FALSAFA MPYA YA MAISHA; Falsafa Ni Maisha Na Siyo Cheo Wala Elimu.

By | March 12, 2017
Linapokuja swala la falsafa, wengi hujiweka pembeni kwa kuamini kwamba hicho ni kitu cha watu fulani. Watu fulani ambao wamekaa darasani na kufundishwa miaka mingi mpaka kuwa wanafalsafa. Au kama ilivyo cheo cha elimu cha PhD ambacho ni shahada ya uzamivu, au udaktari wa falsafa. Kwa mtazamo huu wengi wamekuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz