UKURASA WA 834; Maoni Ya Watu…

By | April 13, 2017
Katika jambo lolote unalofanya au utakalofanya, watu watakuwa na maoni yao juu yako na kile unachofanya. Maoni hayo yanaweza yasiwe yanayokupendeza wewe. Hata kama utakuwa unafanya jambo zuri kiasi gani, wapo watakaoona unafanya makosa, wapo watakaoona una kitu umeficha. Hata ukifanikiwa wapo watakaosema umetumia hila, wapo watakaosema umepata bahati. Hivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz