Mambo Haya Manne Yanakuzuia Wewe Kufikia Ukuu Kwenye Maisha Yako. Yajue Na Uyaepuke Ili Kufanikiwa.

By | May 11, 2017
Hakuna mtu ambaye hapendi kuwa bora, kila mtu anapenda kufanya mambo makubwa, kuwasaidia wengi, kupata mafanikio na pia kukumbukwa na wengi kwa namna walivyofanya makubwa. Kila mtu ana ukuu ndani yake, ana uwezo mkubwa wa kufanya mambo ya kipekee hapa duniani, mambo ambayo hakuna mwingine awezaye kuyafanya, mambo ambayo dunia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz