BIASHARA LEO; Teknolojia Pekee Mteja Anayojali Kwenye Biashara Yako Ni Hii.

By | July 23, 2017
Kila ninapokuwa nawauliza watu nini kinawazuia kuingia kwenye biashara, majibu huwa yananishangaza mno. Watu huwa wanataja vitu ambavyo unashangaa vinawezaje kumzuia mtu asiingie kwenye biashara anayotaka kuingia. Watu wengi wamekuwa wakisubiri mpaka wawe kamili kwa kila kitu, mpaka waandae na vipeperushi vya kuwavutia wateja ndiyo waanze biashara rasmi. Lakini unajua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz