BIASHARA LEO; Wewe unapeleka nini cha tofauti kwenye ulimwengu wa biashara?

By | August 28, 2017
Tumekuwa tunajifunza kila mara umuhimu wa biashara kujitofautisha. Kwamba ili biashara iweze kufanikiwa, lazima iwe tofauti na biashara nyingine, lazima mteja ajue kuna kitu anakipata kwenye biashara hiyo, ambacho hawezi kukipata sehemu nyingine yoyote. Lakini hili pia ni muhimu mno kwa wamiliki wa biashara. Ni muhimu kila mmiliki wa biashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz