BIASHARA LEO; Mteja Matatizo Yake Yanamtosha, Tafadhali Usimwongezee Matatizo Yako…

By | August 29, 2017
Moja ya vitu unapaswa kuelewa kwenye maisha kwa ujumla ni kwamba kila mtu anapigana vita yake. Usione watu kwa nje wanacheka, ndani wana changamoto na matatizo ambayo wanakabiliana nayo. Hivyo pia kwenye biashara, mteja anapokuja kwenye biashara yako, jua ana matatizo na changamoto zake nyingi tu na za kumtosha kabisa.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz