BIASHARA LEO; Acha Uvivu Katika Kufanyia Kazi Ushauri Wa Kibiashara…

By | August 30, 2017
Pamoja na ushauri mzuri wa kibiashara unaoweza kuupata kutoka kwa watu wengine, lipo jambo moja muhimu sana unalopaswa kujua, biashara yako ni tofauti na ya kipekee. Unaweza kupewa ushauri mzuri na bora kabisa wa biashara, ukautumia kama ulivyopewa na bado biashara yako ikashindwa. Tatizo kubwa ni kwamba wafanyabiashara wengi ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz