BIASHARA LEO; Weka Roho Yako Kwenye Biashara Yako.

By | September 27, 2017
Najua unajua kwamba utandawazi umeifanya dunia kuwa kijiji. Kila siku dunia inazidi kuwa ndogo zaidi na zaidi. Na hili limekuwa na madhara makubwa sana kwenye biashara. Kwa mfano, siku za nyuma watu walifikiri ukishakuwa na biashara yako eneo fulani na ukaweza kuikuza pale, basi hakuna kinachoweza kukuhatarisha kama utakuwa mwangalifu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz