#UKURASA WA 1030; Fanya kilicho sahihi mara zote….

By | October 26, 2017
Kuna nyakati kwenye maisha utajikuta njia panda, ambapo kuna mengi ya kufanya lakini hujui ufanye lipi. Na huenda ukawa unategemea ushauri kutoka kwa watu fulani ambao nao huwapati kwa ajili ya ushauri. Hapo ndipo wengi wanapokwama, wakiogopa kufanya maamuzi kwa kuhofia kukosea au kukosa fursa nzuri. Kitu muhimu kabisa katika

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz