UKURASA WA 1035; Maamuzi Yanapokuwa Magumu, Tunafanya Vitu Rahisi…

By | October 31, 2017
Hakuna kitu chenye changamoto kwa watu wengi kama kufanya maamuzi ambayo ni magumu. Inakuwa ni changamoto kwa sababu maamuzi yanapokuwa magumu, yanatutaka tuwe na taarifa nyingi, tutafiti na kuchunguza kwa kina ili kuweza kufikia maamuzi sahihi. Sasa hilo ni zoezi gumu, zoezi ambalo linasumbua akili na kuhitaji kazi. Hapa ndipo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz