UKURASA WA 1037; Fanya Hata Kama Huna Uhakika…

By | November 2, 2017
Kitu kimoja ambacho sisi binadamu tunapenda ni uhakika. Tunapenda kufanya kitu ambacho tuna uhakika nacho. Ndiyo maana licha ya kuwepo kwa fursa nyingi na nafasi nyingi za kuchukua hatua, bado watu wengi wanashindwa kujua ni hatua gani wachukue. Kwa sababu hatua nyingi za kuchukua zinakuwa hazina uhakika kama ni sahihi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz