UKURASA WA 1039; Uadui Ni Rahisi, Urafiki Ni Mgumu…

By | November 4, 2017
Kila mtu anaweza kuwa adui mzuri tu kwa mtu yeyote. Na ninaposema adui mzuri, simaanishi adui ambaye ana roho nzuri, bali namaanisha adui hasa. Lakini ni wachache sana ambao wanaweza kuwa marafiki wazuri kwa wengine. Hii ni kwa sababu uadui hauhitaji kazi, ni mtu tu aamue kumpinga au kugombana na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz