UKURASA WA 1041; Dunia Haina Upendeleo…

By | November 6, 2017
Huwa ninaamini ya kwamba mtu akijua kwa kina jinsi ambavyo dunia inafanya kazi, atakuwa amepata ukombozi mkubwa sana. Hii ni kwa sababu, mtazamo ambao wengi wanao kuhusu dunia, siyo sahihi na unawazuia kuchukua hatua na kufanikiwa. Kwa mfano wapo watu ambao wamekuwa wanalalamika kwamba dunia haina usawa, kwa kutumia neno

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz