UKURASA WA 1074; Kwa Nini Bado Kuna Fursa Kubwa Kwenye Kila Aina Ya Kazi Au Biashara…

By | December 9, 2017
Tabia ya binadamu ni moja, ukiwa kwenye kazi fulani, unaona kama kazi hiyo haina fursa na kazi za wengine ndiyo zina fursa zaidi na manufaa zaidi. Kadhalika kwenye biashara, mtu anaweza kuwa kwenye biashara fulani, lakini akiwaangalia wengine ambao wapo kwenye biashara nyingine, anaona wana manufaa zaidi kuliko yeye. Lakini

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz