UKURASA WA 1088; Unajificha Wapi?

By | December 23, 2017
Nataka kuanza biashara lakini bado sijajiandaa vya kutosha…. Nasubiri mpaka niwe tayari ndiyo nianze kufanya… Nataka kuandika lakini bado sijajifunza vya kutosha… Nataka kuboresha zaidi kazi zangu lakini kwa sasa bado sijakamilika… Zote hizo ni dalili za kujificha. Unataka kufanya kitu, lakini unajificha kwenye sababu fulani, ambazo zinaweza kuwa kweli

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz