UKURASA WA 1095; Hatari Iliyopo Kwenye Mtazamo Wa Kusaka Fursa…

By | December 30, 2017
Kama kuna neno moja ambalo limetumika vibaya mpaka hata kupoteza kabisa maana yake, ni neno fursa. Kila siku watu wapo ‘bize’ kutafuta na kukimbizana na fursa. Na kwa namna fursa hizi zinavyoonekana na kuchukuliwa, zinavutia na kutamanisha mno. Mtu anavutiwa kufikiri kwamba kama asipoingia kwenye fursa fulani basi hawezi kufanikiwa.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz