UKURASA WA 1118; Kawaida Ndiyo Kanuni Kuu Ya Kushindwa…

By | January 22, 2018
Kama unataka kuwa na maisha ya kushindwa, kuwa na maisha ya kawaida, maisha ambayo unafanya kile ambacho kila mtu anafanya, kwa namna anavyofanya. Yaani unakuwa kawaida kabisa, na hakuna hatua kubwa unayopiga. Ukifanya biashara yako kama kawaida, vile ambavyo umezoea kufanya siku zote, na vile ambavyo kila mtu anafanya, unakuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz